Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ooh ukauchuna ebu ninunulie ile jezi kama uliyovaa ile siku

Siku ile nilikuwa nimefulia woiii bado kidogo nikuombe hela nikafa na tai shingoni kama mjerumani
Sema najiandaa kwenda kule tandale wameniibia taa nmeelekezwaa huko wanakokata magar
Kwani mnaongelea nini? Story inakuja halafu inakata hivi
 
Popote mlipo ninyi watu mbarikiwe, natumaini mu wazima wa afya..Nidhamu na Hekima viwe nguzo za maisha yenu.
Muongo huu mpya uwe wa heri na baraka kwenu..
(Nimejikuta nawakumbuka tu ndugu wa humu...wa kipindi hicho Makapuku ikiwa makapuku kweli)
List itakua updated kadri nitakavyokumbuka majina
Da huyo shedede sijui kapotelea wp?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom