ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
He! Usinambie t wako kakuacha??!!!Jipya watu wamepotea..
Wengine wameoa
Wengine wameolewa
Wengine wameachika
Wengine wamezaa
Wengine ni michepuko
Wengine tupo singo
Yaaniii ni tafrani tuu
Yuko na mm siku hzi
Kabisaa Mkuu...hapa umeandika na roho ya baba kabisa
Ohooo...kwahiyo mmeshea kinu na binamu yakooo....!?Na ww si uliniachaaa
Haya
She's free at free state...Utakufaaa
Unanicheka eeehhhHahahahahahaha
Halafu ukaniacha huku ukaenda kwa wengineKama kumbukumbu zangu ziko sawa..mm ndio nilikuleta huku kama my baby mama![]()
Ni wivu tu (In Sakayo's Voice)Nakumbukaaa ila ulikuwa unatoswaa ajab
Damu ilikua inachemka...kila kizuri nakimbilia😁😁Halafu ukaniacha huku ukaenda kwa wengine
Pole na karibu.. Mm nilijua ulikua mkongwe humu! Karibu sana. Mimi nilikua kitengo cha ukaguzi wa new releases![]()

oooh..Asantee Sana boss nimeshakaribiaa
Ahsante. Hamna ubosi tena. Nilivuliwa vyeo kwa uhujumu
T ameniacha siku nyingi saaana jamani!! Saivi ana mke na mtoto anitwa J
Kwahiyo akapigwa ridandasi?!Shedede alikuwaga mlinzi ila sku za mwanzoni alikuwa msumbufu huyu mtu