ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Ahahaha, ulikuwa hueleweki afu nilijua kwangu tu kumbe na kwa wengineTukiwaaa wapenziiiii...hivi kwa nn uliniachaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha, ulikuwa hueleweki afu nilijua kwangu tu kumbe na kwa wengineTukiwaaa wapenziiiii...hivi kwa nn uliniachaa


Sawa sawa mjomba, hilo limepitaMimi na shunie ni wabebez sio wapemba![]()
Kumbe binamu hakukuleta?
Kila mtu ni mpenzi wako humu..
Umekua kama yule jamaa mondr....
Ukistaajabu ya musa.....Nasikia mimi ni muke ya sita...
My dear, nina wivu wa hela zootee!! Sitakagi uke wenza!!
Najiona kabisaa nikichoma familia sita!!!
Umeona sasa!Damu ilikua inachemka...kila kizuri nakimbilia![]()
Kweli sio kila mtu.. wengiHahahahahah sio kila mtu
Pambana jirani, bado kidogo ushinde
Nifanyejee sasaKabisaa Mkuu...
Samahani sana..Umeona sasa!
Ukawaachia mabaharia wa humu wanirarue moyo wangu
Kawaidaa
T ameniacha siku nyingi saaana jamani!! Saivi ana mke na mtoto anitwa J


aisee
Mpokee my Kaka bhana si umesema uko singo?!
Unataka kwenda wapi lakini
Sijui hata jamaniNifanyejee sasa