Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Huhu huhu huhuuuu....!!! Mule mule yaaniMwenyewee kabisaa husna wa ankooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huhu huhu huhuuuu....!!! Mule mule yaaniMwenyewee kabisaa husna wa ankooo
Popote mlipo ninyi watu mbarikiwe, natumaini mu wazima wa afya..Nidhamu na Hekima viwe nguzo za maisha yenu.
Muongo huu mpya uwe wa heri na baraka kwenu..
(Nimejikuta nawakumbuka tu ndugu wa humu...wa kipindi hicho Makapuku ikiwa makapuku kweli)
List itakua updated kadri nitakavyokumbuka majina
Mpya aukuhusu hili mbona tulishaongea binamu,,
huyo ni my telemundo binamu..
Basi mwambie akae chonjo Mama mjengo nimerudiAna mchepukoo humu ......
Asante sana jamani dear....Popote mlipo ninyi watu mbarikiwe, natumaini mu wazima wa afya..Nidhamu na Hekima viwe nguzo za maisha yenu.
Muongo huu mpya uwe wa heri na baraka kwenu..
(Nimejikuta nawakumbuka tu ndugu wa humu...wa kipindi hicho Makapuku ikiwa makapuku kweli)
List itakua updated kadri nitakavyokumbuka majina
Hahahhaha miaka mitatu imepitaWoiiiiiii..
Hivi kipimo cha kumiss mtu ni aje.?
Au kumiss hakuna SI Unit
Nashukuru mnooo jamaniHaha inapendeza..
Nikutakie asubuhi njema sis!
Hahaa Arosto kaniachiaHahahhaha miaka mitatu imepita
Ahsante sana mkuuAsante sana jamani dear....
Nawe pia
Karibuuu sana
Abiria chunga mzigo wako
Najuaaa ila si ushazoea
Hahahahaha nakubaliiiii mkuuuHahaa Arosto kaniachia
Nakuona mzee wa kubadili mafaili..Tupooo hapaaa
Nmefanyajee lakini