NindyayeMwidiwe ziwawe...
ZimefikaHivi yupo ebu msalimie mnooo
Nipo mtaasisi, habari ya Tanga?...mtaasisi, upo ndugu yangu?
Kitambo sana
Hii Alkasusu sijui Kasusura ni kinywaji gani? Watu wa Dar mna mambo sana hakyanani,
Nina safari ya Tanga, kama kuna mwenyeji na au unamjua mwenyeji Tanga mjini basi tutafutane kuanzia Jtano jioni, nitakuwa hotel moja nzuri, nna hela ya kunitosha mwenyewe, tafadhari mwenyeji aje akiwa kamili kujigharamia endapo atataka kunywa au kula
Sasa mimi kosa langu liko wapi hapo jamani mimi nimeleta je wajua tu
Boss habari yakoKaka mkubwa Heshima yako.
Mtoto mlitoJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangala
Amuna raaSalaam ningendako
Dada akeMjomba shikamoo
Sisi walutheri dominika hatuijui we mzeeAmkeni basi ,tukasali Dominika ,kisha tukae sehemu tugongeee nyagi
Niko apa baba wawili naona umerudishiwa nywilaMtoto mlito
Hatujambo habari yakoHamjambo humu
Sijambo mimiHujambo mama D...
Eeenh kumbe usipokuwa na uhakika wa mechi ndio inakuwaje eti
Sharti la Al-kasus ni lazima uwe na uhakika wa mechi