Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Imfikie cuzoo wako Linamo
Imfikie cuzoo wako Linamo
Hivi yupo ebu msalimie mnoooImfikie cuzoo wako Linamo
EenhSana,na ulivotaja hyo faida ndo nimependa zaidi
Ugonjwa wa mtaasisi Obe huu
Unapenda mizigo mtoto mlitoWe mzee mzigo gani tena jamani ebu njoo
Hahahahaha mbona inauzwa hiyo na wazee wa kanzuHii Alkasusu sijui Kasusura ni kinywaji gani? Watu wa Dar mna mambo sana hakyanani,
Nina safari ya Tanga, kama kuna mwenyeji na au unamjua mwenyeji Tanga mjini basi tutafutane kuanzia Jtano jioni, nitakuwa hotel moja nzuri, nna hela ya kunitosha mwenyewe, tafadhari mwenyeji aje akiwa kamili kujigharamia endapo atataka kunywa au kula
Napenda baba wawili jamaniUnapenda mizigo mtoto mlito
Sawa shunieNapenda baba wawili jamani