Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20191106-210700~2.jpeg
 
Hii Alkasusu sijui Kasusura ni kinywaji gani? Watu wa Dar mna mambo sana hakyanani,

Nina safari ya Tanga, kama kuna mwenyeji na au unamjua mwenyeji Tanga mjini basi tutafutane kuanzia Jtano jioni, nitakuwa hotel moja nzuri, nna hela ya kunitosha mwenyewe, tafadhari mwenyeji aje akiwa kamili kujigharamia endapo atataka kunywa au kula
 
Hii Alkasusu sijui Kasusura ni kinywaji gani? Watu wa Dar mna mambo sana hakyanani,

Nina safari ya Tanga, kama kuna mwenyeji na au unamjua mwenyeji Tanga mjini basi tutafutane kuanzia Jtano jioni, nitakuwa hotel moja nzuri, nna hela ya kunitosha mwenyewe, tafadhari mwenyeji aje akiwa kamili kujigharamia endapo atataka kunywa au kula
Hahahahaha mbona inauzwa hiyo na wazee wa kanzu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom