Sitaki shikamooo we aunty mary
Shikamoooo


halafu we haya
Mdogo wake mie shikamo
Sitaki shikamooo we aunty mary



Jamani nini shida bi mdogo, ila usianze kuzungumzia habari za kuomba helaMimi sina hakika
Kwavile we hujambo..ngoja na mimi niwe sijambo tuu maana sina namna![]()
Tupo wazima za wewe
Usijali mkuu karibu sana na uwe na amani tu
Km wakija na kusema wao ndo wamenuna waongeze na juisi ya NDIMU bila kusahau pili pili kichaaWoyooooo
Nani kanunaaaaaa
Nauliza tena nani kanunaaaa watakuwa wa browser hao wamenuna


Yani huyu na dadaake shunie ni sidaaHapa ndo unaniachaga hoi ujue.
Uko fresh eti.?




hiyo ndo sababu kubwa ujue,nnakonda na mijihela ya kusini
Jamani nini shida bi mdogo, ila usianze kuzungumzia habari za kuomba hela![]()
Hahahahaha mama pambana na khali yakohiyo ndo sababu kubwa ujue,nnakonda na mijihela ya kusini




Hahahahaha mama pambana na khali yako
Hupati ki..hupati kitu hapa
hata utoe kamasi za damu, huhurumiwi ng'oo