ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Dadaako na dadaanguTumefanyaje tena jamani
hawataki shkamoo ila nasikia Tumosa ndo kazidiDadaako na dadaanguTumefanyaje tena jamani
hawataki shkamoo ila nasikia Tumosa ndo kazidiSitaki jina lenu shangazi yenu mary
Sio maneno yangu jamani maneno ya wanasayansiwakikusikiaa heee
Kuna vyeo vya aina nyingiHuyu toka apandishwe cheo amekuwa adimu sana
kawa nani jaman dadaangu
Usisahau kuniletea jibu ukimaliza uchunguzi wakonaanza uchunguzi
Hahaaa kwani tumosa nae hataki mbona yeye ndio hodari wa kusalimia wenzieDadaako na dadaanguhawataki shkamoo ila nasikia Tumosa ndo kazidi
Wewe si ndio aunty maryMimi tena
Cheo cha kazini uko amekuwa bossKuna vyeo vya aina nyingikawa nani jaman dadaangu
Hongeraa zake ngoja aje nimuombe helaCheo cha kazini uko amekuwa boss
Na ana mahela mengi namuonaga anayapost kwa sttsHongeraa zake ngoja aje nimuombe hela
Marahabaa mjukuu mweeeShikamoooo
Mimi sina hakika
Hahahah sijui naye anti mary maana ndo kasemaHahaaa kwani tumosa nae hataki mbona yeye ndio hodari wa kusalimia wenzie