Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Asante kheri kwako pia kpenziMimi sijambo pia
Heri ya pasaka dear
Asante kheri kwako pia kpenziMimi sijambo pia
Heri ya pasaka dear
MfyuuuuuuMama wa kupandishwa cheo na kuchapia toka upandishwe cheo ni kuchapia tu
Asante dearAsante kheri kwako pia kpenzi
Hahahahhaha
Mama naah ndio hasira za kutokukulwa au ndio unataka kuwa chizi kwa kuanza kucheka cheka jamani nimekumbuka makapuku ileeee ulivyokuwa unamwambia T eti hakukuli umeshaanza kucheka cheka hovyo



Woyooooo
Mweka hazina nipo hapa
Basi kuna hater watapinga





imepita hiyo
Halafu fwala kwetu ni nakupendaUchochezi jamanii baba Naah
Sijaelewa yaan kumquote wapi
Huyu huyu unayemjua binamu anko wako mwenyewe.....ha nha ahahaah, ni huyu huyu tunayemjua au, maana Pasaka hii watu wanafufuka upya. Ni wakati wa wao kuzika penzi la zamani, kusaka talaka na kuwa na penzi jipya (ufufuo). nNilikuwa chechi leo
Mm namwamini mama naah sababu hatufichani@Shunie sema ukweli wa moyo..?
Nakuamini mama naaahTangu lini huniamini eti
It's a mistake..! Muache mama Nah wangu..





Acha nileft mie niende kwa video kolu
Mbona sielewi quote ipiiiMama Nah nisamehe bureeee...
Mara ya 3 naomba msamaha ! Na ile qoute nimefuta..
Eeeenh umetublock mpaka hukuPm haitoki kwangu...
Kwahiyo ile ya tigo si ndio uliyomblockHahahaa...+ 974 *#*5569