Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ndiwooo....Hahahhaha unakumbuka ile siku tulivyoongea kuhusu hii issue
Ukweli ndo huo sasaaa.... Kila mtu ako na file la mwingine
Ndiwooo....Hahahhaha unakumbuka ile siku tulivyoongea kuhusu hii issue
Woyooooooo...
Namuona msaliti hapaaa akitajwaaaa
Mpambane na khali zenu hukooSasa hivi ni yeye kweli itakuwa
Ndiwooo....
Ukweli ndo huo sasaaa.... Kila mtu ako na file la mwingine







@sakayo njoo usome hapa![]()
Hahaha hahahaHahahaha, namchemsha shangazi Shunie ,hakuna lolote
Jamani asante we mzeeSiwezi kujua ila napenda muwe happy muda wote humu ,hasa hapa makapuku
Yesu akutunzeMie sikujiiii
Hahaha hahaha
Kwahiyo yupo kotekote woiiiiiii
Nyama utakula sanaNyama tu
Huyo mtu yupo kote kote kwako na kwangu we mzee ujue sasa picha zangu kakupa uwe unaziangalia tu auHahahaha, namchemsha shangazi Shunie ,hakuna lolote
WalaaaSawa iko siku utakuja na mdg wako Shunie
Mpambane na khali zenu hukoo





mfyuuuuu ila ujue nilimuulizaga akakataa
Hahaha hahaha hahaha
Huyo mtu ni mnafikiiiii... Ndo maana sipendi watu wa jf mimi
Hahahahahaha hunishindi mm jamaniHahaha hahaha
Nacheka sina mbavu mimi
Sio nyama pori mm nataka mbuzi na ngombeNyama utakula sana
Hahahhaha unakumbuka ile siku tulivyoongea kuhusu hii issue
Mh we mzee sio ww jamani ebu soma vizuru khaaaaAsee mie ni mnafiki,? Dah Rafiki umenikosea sana asee ,ila usijari
Asante we mzee