Makapuku Forum

Makapuku Forum

.....nilijua tu, ukiwa na simu za Simusang au Aepple basi kuona inbox ni shida sana.

Ila sijui kwanini my Telemundo hanijibu inbox zangu, au hana simu? Aseme mapema kabla sijamaliza bajeti za sikukuu. natoaga mazawadi tu.

Uko poa lakini aunt yangu, miss you kwa sana na ni furaha kwangu kukuona hapa, namaanisha
Nakupenda binamu yangu mm
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Asante sana dada Shunie kwa ukarimu wako
Asante mkuu wangu sasa ukitaka nipate quote yako ukiona comment ya mtu yeyote kama nilivyofanya hivi nenda palipoandikwa quote chini ya jina la muhusika ili mtu apate haraka mkuu wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom