Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,423
Naendelea vizuri kiasi .... Asante kwa kujaliSafi km hujambo, umepona sio
MTC | 101|![]()
Naendelea vizuri kiasi .... Asante kwa kujali

Asante sanaNi vzr km unaendelea vzr japo unasema ni kwa kiasi kwa kuchat tu huku..hope utakua full ,kila la kheri, upone kabisa
MTC | 101|![]()
Hatujambo shikamoo
Nakupenda binamu yangu mm.....nilijua tu, ukiwa na simu za Simusang au Aepple basi kuona inbox ni shida sana.
Ila sijui kwanini my Telemundo hanijibu inbox zangu, au hana simu? Aseme mapema kabla sijamaliza bajeti za sikukuu. natoaga mazawadi tu.
Uko poa lakini aunt yangu, miss you kwa sana na ni furaha kwangu kukuona hapa, namaanisha
Alama za vidole zinahusina nn na notification binamu...angalia simu yako kama umeshasajili alama za vidole
Ujumbe unamuhusu eenh@Transcend
Asante mkuu wangu sasa ukitaka nipate quote yako ukiona comment ya mtu yeyote kama nilivyofanya hivi nenda palipoandikwa quote chini ya jina la muhusika ili mtu apate haraka mkuu wanguAsante sana dada Shunie kwa ukarimu wako
Ni mimi kabisa jamani




Woiiii mm nakujua kwahiyo hatukupi furaha mfyuuuu
Kumbe tupo wengi nikajua kaitel kanguBasi nami nikajua kwakua niko huku Porini ,ndio maana sipati notification
MTC | 101|![]()
Kweli we mzeeHahahaha
MTC | 101|![]()
Mh Mungu endelea kunifundisha kunyamazaHahahaha, mbn mie sipatagi hizo inbox ? Unafanyaje kuzipata ?
MTC | 101|![]()
Alama za vidole zinahusina nn na notification binamu
...najua basi, mwenyewe nimeona tangazo kwenye simu ndo nikadhani inahusika




ila binamu bwana akili zako unazijuaga mwenyeweHahahaha, mbn mie sipatagi hizo inbox ? Unafanyaje kuzipata ?
MTC | 101|![]()
Acha nikaangalie sultan
La bheka Mama Nah@Transcend