Binamu kumbe unaendaga inbox
Simu yangu binamu haina inbox....naendaga sana tu, yaani huwa nakaa humo hadi wenyeji wananichoka, nashangaa tu wewe inbox huendagi, ni pazuri au simu yako haina inbox.
Simu yangu binamu haina inbox
Hivi kutopata notification ni mm tu au na nyinyi
@TranscendKatika vitu ambavyo havitaki kufanyiwa utafiti ni mapenzi
Mapenzi hayana formula jamaniView attachment 1074304
Ni mimi kabisa jamani
Ni mimi kabisa jamani

Hivi kutopata notification ni mm tu au na nyinyi

Sijambo kabisaaa jamaniiHahahaha, kwanza Rafiki unaendeleaje
MTC | 101|![]()
....naendaga sana tu, yaani huwa nakaa humo hadi wenyeji wananichoka, nashangaa tu wewe inbox huendagi, ni pazuri au simu yako haina inbox.

Salama