Makapuku Forum

Makapuku Forum

Najiaminisha kila mmoja wetu humu hajambo kwa hali na usawa wake. Ndo maisha na nikiwamiss watu wema wa jukwaa hili sijui kuficha, nitasema na sasa nauliza kama Kuna Jipya?

Ukiwa unajipa muda kujibu(au hata kama umeignore/puuzia) wewe burudika na muziki huu

 
Najiaminisha kila mmoja wetu humu hajambo kwa hali na usawa wake. Ndo maisha na nikiwamiss watu wema wa jukwaa hili sijui kuficha, nitasema na sasa nauliza kama Kuna Jipya?

Ukiwa unajipa muda kujibu(au hata kama umeignore/puuzia) wewe burudika na muziki huu

Tuko bien ,Papaa

MTC | 101|
 
  • Thanks
Reactions: Obe
D39L1HNWkAIRLOZ.jpg



...nimeitoa BBC.com 😀😀😀😀😀
 
Toka kwa twita ya Gado tena, ni leo tu na tena muda huu ndo niko naipitia pitia na nimeona sio mbaya wewe mdau wa Jukwaa hili ukaipata. Kama kawaida usichukulie maisha kiumakini sana. Kuna maisha ya kufurahia kuishi tu inatosha

D1oa_K9X0AEeiOZ.jpg
 
...pale uko sekondari unajitahidi kuandika essay, point ni zile zile tu kwenye swali la Kwanini africa haina maendeleo

Uporaji wa Ardhi
Viongozi wabovu


..Halafu uchaguzi ukifika unawachagua viongozi wale wale. shuleni ulisoma kumfurahisha mwalimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom