Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uongo umeanzaa liniii etiiiiEbu acha kunigeuzia kibao si nimekujibu jana kwa tigo mpaka leo haijafika
Uongo umeanzaa liniii etiiiiEbu acha kunigeuzia kibao si nimekujibu jana kwa tigo mpaka leo haijafika
Jamani mvua inanyesha mpaka raha mvua hii uwe karibu na babe tu pembeni mkumbatiane tuKwetu mlandege jua kali
Bwana ww imetick moja kwenye simu yako ya tigo umeihonga auUongo umeanzaa liniii etiiii
Hahahahahahahaha unatupaaa jiwe gizaniiiii uzuriii mm jana nmerudiiiii salamaJamani mvua inanyesha mpaka raha mvua hii uwe karibu na babe tu pembeni mkumbatiane tu
Wakubwa mnafaidi nikikua nataka kuwa kama nyie
Bwana ww imetick moja kwenye simu yako ya tigo umeihonga au
Mama Naah wangu huyoMmmh
Basi utakuwa unatumia gb whatsapp mana nasikia mtu anaweza pata tick moja na text imeshasomwaHahahahahahahahaha hapana bwnaa
Hahahahahahahaha unatupaaa jiwe gizaniiiii uzuriii mm jana nmerudiiiii salama





Basi utakuwa unatumia gb whatsapp mana nasikia mtu anaweza pata tick moja na text imeshasomwa
Mbona nzuri watu wanaisifia tu endeleeni kutumia tuHahahahahaha gb ilizimishaa simu yangu sitak kusikia
Kwenye itel inaingiaa ?Mbona nzuri watu wanaisifia tu endeleeni kutumia tu





unataka watu waseme ya moyon weww
Mm nimesema wakubwa mnafaidi tu na mm nataka kuwa kama nyinyi
Kwenye itel inaingiaa ?





Hivi kwani nyie wakubwa hamfaidi jamaniunataka watu waseme ya moyon weww
Kinyume chake halafu naonaga jukwaa la tec watu wanaulizia wekeni muue simu zenu
Mm sitaki hata kuisikia iliniulia s5 yangu mpya ikasababisaha nitumie tecno simu ambayo siipendi hata
Hivi yale ni mapenzi ama ni nyege?
Mapenzi kitu kingine ujue


Kiko wapi sasa nilikigawa nilitumia sijui week mbili sababu nilikua na shida na simuAlafu hicho kitecno chako uje uniongee boss