Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nakusalimiaaaa sana
Nakusalimiaaaa sana
Nakusalimiaa sana
Labekah mama D..!Baba Naah nakutafuta mm
Mmh..ujumbe!Ukimpata Baba Naah wako mwambie niko na ujumbe wake
Mtafute mwenyewe hukoo
Mmh..ujumbe!
Nimekumbuka enzi za mwalimu mtu akikuambia ana ukumbe wako lazima ushtuke...
Unanipa link ya nini lakini?
Labekah mama D..!
HakunaaaaNan anabishaaaa
Ebu ukoHata maraisi wapo wastaafu.
Shangazi msataafu
Habari za asubuhi.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunaaaa
Naona simu text hazijafika tatizo simu imetekwa au tatizo bundle
![]()
Sakayo nakutamani kimapenzi - JamiiForums
Potelea mbali Uzuri mimi siyo mnafiki wala mwoga mwoga kusema hisia zangu. Sakayo ni mwanadada anayenisisimua kimapenzi hapa JF. Simjui yupoje, sijawahi kumwona ila nimejitengenezea picha yake akilini mwangu. Picha hii hata nikiiwaza tu nasisimuka kihisia hadi jogoo anawika. Niseme wazi...www.jamiiforums.com




nmekumbuka msemo wako "achana na mapenzi wewe" unaweza fanya lolotee
Ebu acha kunigeuzia kibao si nimekujibu jana kwa tigo mpaka leo haijafikaHahahahahahah nikuulizee wewe make naona sijibiwiii
nmekumbuka msemo wako "achana na mapenzi wewe" unaweza fanya lolotee






Mapenzi kitu kingine ujue
Hahahah chizi weweUjumbe umefikaaa
Ikulu wanakuachia leo au ndo mazimaHahahah chizi wewe
Kwetu mlandege jua kaliHivi huko kwenu napo mvua inanyesha sana