ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Ndiwooo
KhaaaaBaba Naah nakutafuta mm
Ukimpata Baba Naah wako mwambie niko na ujumbe wakeKhaaaa
Mtafute mwenyewe hukooUkimpata Baba Naah wako mwambie niko na ujumbe wake

Ya kweli ndio kwahiyo hauamini we mzee kama nimekumiss mm
Kwani umesharudi porini kwako

Unaongea na nani eti we binti

Nilikua naongea na wewe apo anti kibonge

Hahahah tutasaidiana kwenye shida zingine zingine kama ushauri ila siyo pesa sawa mama
Sent using Jamii Forums mobile app


usiniambie ntakusaidia ukiwa kwenye......
alafu mie nae
Hata maraisi wapo wastaafu.Hilo jina lenu nimeshasema silitaki kama ameshapatikana mrithi aunty mary ndio lake
Shkamoo..Unanichosha ujuee
Tumeamka mjomba.Mmelala humu
MTC | 101|![]()
Mjomba mjombaaa unaletaaa siriiiii za utaniiiAunt Mary akipotea na mjomba Lee anapotea pia,wakirudi wanarudi wote,,waulize kwan wao ni mapacha??