ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,947
- 13,864
Unaongea na nani eti we binti
Nimeziona hizo nyeusi
Mm ni nani nisilibariki na wakati mmeshalipitisha
Ni aunt mkubwa...Mm ni nani nisilibariki na wakati mmeshalipitisha
Hahahah tutasaidiana kwenye shida zingine zingine kama ushauri ila siyo pesa sawa mama[emoji4]
Hilo jina lenu nimeshasema silitaki kama ameshapatikana mrithi aunty mary ndio lake
Unanichosha ujueeshukraan lakum
Hebu hukoooo
Sawa my dear
Kuwa na amani kabisaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najua dada basi nimejisemea tu ni vile tu unavyonijua kindakindaki
HahhahahahhahaKuwa na amani kabisaaa...
Siwezi kufyatuka kabiiisaaa!! Yaani ikitokea nafyatuka nitaimba mapambio yoote ya ulimwenguni
Kujijibu nn tena jamaniHebu hukoooo
Shunie amejijibu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unanichosha ujuee
Shkamoo etiKujijibu nn tena jamani
Hahaha hahaha hahahaHahhahahahhaha
Nimecheka sana chizi wangu
[emoji3][emoji3][emoji3]sawa shangazi nimekoma [emoji40][emoji40]Hilo jina lenu nimeshasema silitaki kama ameshapatikana mrithi aunty mary ndio lake