Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahhaha
Na mm ndio kiboko yake na mm ndio kiboko yangu

Yaan huyo ni msiri wangu siku zimfyatuke atoe siri zangu jf itasimama

Nampenda sakayo wangu mm Mungu wangu azidi kuniwekea tu
kumbe ndio mbeba siri zako,ipo siku atafyatuka atoboe kidogo,,watu woyoooo
 
kuna wakati kuna vitu vinajitokeza kwa makusudi katika haya tunayofanya humu ndani.. Wengi tunawapa ustar Usiostahili.. Hawana wanachokiandika zaidi ya ujinga.. Tupo hapa kujenga na kurudisha Heshima ya Jf nzima... Hatuwezi kuwapandisha wale wasiostahili.. Tusimame imara
Hahahahhaha
Na mm ndio kiboko yake na mm ndio kiboko yangu

Yaan huyo ni msiri wangu siku zimfyatuke atoe siri zangu jf itasimama

Nampenda sakayo wangu mm Mungu wangu azidi kuniwekea tu
Ee baba uishiye na kumiliki...

Baba ukaaye juuu patakatifu

Fyatua akili za Sakayo baba!

Tujue nyuma mwa pazia kwa shunie...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom