Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hapana jamaniii
Hapana jamaniii
Hebu kiniambie hicho kitu etiKhaaaa
Siurudi sasa nyuma
Ndio hapo nabaki na bumbuwazi.Afadhali shemela Shunie mgombanishi mno ingekuwa kweli ningekuletea malalamiko mbona
Jamani jamanii
Salam zako nyingi...........ha hahaha, Mary, mwanamke unayependwa na hela zangu. Nilikumiss na always ni furaha kukuona hapa.
Hayo masimba aka mnyama ni kwa sababu timu yangu na Haji Manara ilifanya mauaji ya kikatili pale kwa wale jamaa wa Congo, hiyo baiskeli ndo usafiri wangu job nakata kitambi na kutafuta appetite ya biere kwa kuendesha baiskoo (nna eseni usiogope) na nina mkoba wa kazini na jtatu huwa nanyonga tai kama bosi kumbe ni bosta (boss of shit).
Uko poa lakini
Kifupi bila kupoteza muda wa kila mmoja wenu, ninawasalimia na kuwataarifu kuwa ndugu yenu nilikuwa na wikend nzuri, asanteni kwa kutouliza na ninaandika kuwatakia wiki njema na kama kawaida yangu, salamu zinasindikizwa na burudani.
BTW ni furaha kumuona marybaby jukwaani. Mimi bado ni yule yule

unakuaje yule yule wakati una malipo ya awali?