Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Marybaby mbona unatufuruga(in senga's voice) kuamka ndio kupumzika ama kulala ndio kupumzika..
Wengine tunalala nafsi ya kwanza umoja, so tunapumzika, au ulikuwa unawaambia mupumzike nyie mnaolala nafsi pili uwingi, nyie mnaolala 4 legs mabingwa wa kulegeza nati za vitanda, nyie ndio usiku hampumziki, ila sie wakina pangu pakavu tia mchuzi.. Iihh, ndio mida yetu kupumzika.
Sent using Jamii Forums mobile app






pole shemeji



