Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,103
Lakini sayansi hii hii inayoaminiwa, bado kuna baadhi ya mambo imekosa majibu mpaka sasa. Ukiachia kushindwa kuzuia kifo kutokea kwa kiumbe hai, lakini pia kuna mambo mpaka leo imeshindwa kupatia majibu baadhi ya mambo ambayo yapo duniani na yenye kushangaza.
Hapa nakuletea vitu vitano ambavyo mpaka sasa sayansi ambayo inafanywa na wanasayansi waliobobea, imeshindwa kupata majibu imekuwaje, imetokeaje, au utakuwaje.
Hapa nakuletea vitu vitano ambavyo mpaka sasa sayansi ambayo inafanywa na wanasayansi waliobobea, imeshindwa kupata majibu imekuwaje, imetokeaje, au utakuwaje.