Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Hahahhaha inaleta ndivyo sivyo nn ankoHutaki anko wako akuone vizuri mpwa wake ?
Maana kuna minjemba inaleta ndivyo sivyo.
Hahahhaha inaleta ndivyo sivyo nn ankoHutaki anko wako akuone vizuri mpwa wake ?
Maana kuna minjemba inaleta ndivyo sivyo.
Wewe huyo unakunywa dompo ya redMie huyooo
Nikuywe dompoo
Vipiiii jamaniMmmh mmmh
Hahahhahaha mama la dompo nimelipenda jina mm
Kabla sijajibu
Ile akili ilotuma kiwiliwili ni akili ya nini eti
Mm huyu jamani
Mama dompo atabaki kileleni
Simba raha jamaniiiMwenye simba yake jana
Mamaaa... Nakufwa aaah





Hahahhahaha mama la dompo nimelipenda jina mm
Nitapata Tabu ya kumuokota mimi..Hahaha natamani Dada akee shunie afikie kwenye whisky





Jinga wewe nimecheka
Hahahah T ni chiziHahaha hahaha
Hivi kumbe hunipendi kabisaaa jamanii
Mmmh mmmh mmmh
Sawa baba Naa





Kuna rafiki yangu alikua anapendaga mirungiSio bangi..
Kuna mirungi inaletwaga Arusha kutokq kenya...inakuwa kwa basi za Tahmeed..
Hiyo mirungi ni Og yaani! Yaani just a single chew..you feel as if uko peponi
Sent using Jamii Forums mobile app





Jinga wewe nimecheka