Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Hahahhaha inaleta ndivyo sivyo nn ankoHutaki anko wako akuone vizuri mpwa wake ?
Maana kuna minjemba inaleta ndivyo sivyo.
Hahahhaha inaleta ndivyo sivyo nn ankoHutaki anko wako akuone vizuri mpwa wake ?
Maana kuna minjemba inaleta ndivyo sivyo.
Wewe huyo unakunywa dompo ya redMie huyooo
Nikuywe dompoo
Vipiiii jamaniMmmh mmmh
Hahahhahaha mama la dompo nimelipenda jina mm
Wouzerr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kabla sijajibu
Ile akili ilotuma kiwiliwili ni akili ya nini eti
Mm huyu jamani
Mama dompo atabaki kileleni
Simba raha jamaniiiMwenye simba yake jana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamaaa... Nakufwa aaah
Hahahhahaha mama la dompo nimelipenda jina mm
Nitapata Tabu ya kumuokota mimi..Hahaha natamani Dada akee shunie afikie kwenye whisky
Mama dompo atabaki kileleni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe nimecheka
Hahahah T ni chiziHahaha hahaha
Hivi kumbe hunipendi kabisaaa jamanii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh mmmh mmmh
Sawa baba Naa
Kuna rafiki yangu alikua anapendaga mirungiSio bangi..
Kuna mirungi inaletwaga Arusha kutokq kenya...inakuwa kwa basi za Tahmeed..
Hiyo mirungi ni Og yaani! Yaani just a single chew..you feel as if uko peponi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe nimecheka