Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio bangi..

Kuna mirungi inaletwaga Arusha kutokq kenya...inakuwa kwa basi za Tahmeed..

Hiyo mirungi ni Og yaani! Yaani just a single chew..you feel as if uko peponi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha

Kenya bwana mirungi ni halali kabisaaa, halafu magari yanayosafirisha mirungi yakipita ni zaidi ya ambulance, yanakimbia balaa na yanapishwa kabisaaa njiani hukoo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom