Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Jambo la kheri hili binamu,,acha tupambaneKwema sana binamu. Tunasongesha kibishi kuziba matobo ya January.
Jambo la kheri hili binamu,,acha tupambaneKwema sana binamu. Tunasongesha kibishi kuziba matobo ya January.
Hahahah kwan Sepenga bado hujapata namba zake tu binamu,mm nilijua tyl upo hatua za mwsho mwsho kabsaHizi hela nikilipwa kwa kweli kuna watu tutaonana wabaya.
Ila binamu hata wewe usitegemee kupata hela nyingi maana walisema watatulipa 3300 sasa ona wanasema 2600. Hii serikali inataka kunipunguzia hela za kumtafuta Wema Sepwtu
Hahahah kwan Sepenga bado hujapata namba zake tu binamu,mm nilijua tyl upo hatua za mwsho mwsho kabsa
Chochote utakachonipatia mm ntashukuru binamu ila usimsahau ndugu yangu Tumosa tupigana sana pale Ras Simba
Jambo la kheri hili binamu,,acha tupambane
Hahahah binamu bhana,eeh mrembo mwenye nyota yake yule,,binamu ukianza vinjar nae tu lazima ugeuke kuwa sukar ya warembo mjini hapo...hizi namba nitazipata na mpunga ukitema tu basi mwanao utaniona kwenye insta navinjari na mrembo mwenye mvuto na sifa za kipekee hapa nchini, ndo miss wa kwanza mwenye neema za Mungu (wengine wanasema kajiongezea lakini unadhani najali basi).
Tumosa na wewe siwezi kuwasahau, mlinipiga sana tafu wakati nafanya jitihada za kunoa kiingilish changu kumkabili marybaby
Anyway, nashukuru kukuona binamu, naamini baridi unalikabili kisawasawa
Hahaha vile huwa vinajua muda wote unazo tu,haina jinsi binamu ndio maisha yenyew haya....swadka, kupambana tu maana kuna hivi vimapacha vyenyewe haviwezi kabisa kututetea pale tunapochelewa kulipa ada. Vinamuamini mwalimu kuliko mzazi
Binam na mastory ya hela hatari kbsHahaha ww cheka tu,,unamjua vzr binamu yangu,,naona yale mapesa ya koroshow huyapend ww

Neno sina au subiri ni MWIKO kwao,Hahaha vile huwa vinajua muda wote unazo tu,haina jinsi binamu ndio maisha yenyew haya
Poa poa mkuu,,najua unapenda zile action za russia sana,,kama ukipata time jaribu kupitia hii kitu Huter Killer,,utajifunza kitu,,hii ni ya yule jamaa wa London Has Fallen na Olympus Has Fallen kama ulishawah zipitia mzee
Ha ahahahhahhahah eti kwao Mwikokweli aisee
......na vile vinamuamini mwalimu kuliko wewe unayelipa hela. Utoto raha sana, mikwara mingi. Lakini ndo wanaotufanya tuamke asubuhi kusaka riziki.

utoto raha bwana asikwambie mtu,

Good morning good people. Tuwe na wakati mzuri na siku njema ya J5, with love
....nami naiweka kwenye rada zangu this weekend niiangalie.
BTW, ukitaka kucheka wikend hii tizama The Upside, a true story , hutajutia muda kama unapenda real life comedy drama
Hivi aliitumia hii elimu ya ras simba.?Hahahah binamu bhana,eeh mrembo mwenye nyota yake yule,,binamu ukianza vinjar nae tu lazima ugeuke kuwa sukar ya warembo mjini hapo
Itapendeza sana kama hutotusahau binamu,tumepambana vya kutosha richa ya fitina za mswatinyumbanyingi
Hahah barid napambana nalo mwanzo mwsho,unaweza kuganda haha


siamini mpk ss hujafanikisha namba aise
...hizi namba nitazipata na mpunga ukitema tu basi mwanao utaniona kwenye insta navinjari na mrembo mwenye mvuto na sifa za kipekee hapa nchini, ndo miss wa kwanza mwenye neema za Mungu (wengine wanasema kajiongezea lakini unadhani najali basi).
Tumosa na wewe siwezi kuwasahau, mlinipiga sana tafu wakati nafanya jitihada za kunoa kiingilish changu kumkabili marybaby
Anyway, nashukuru kukuona binamu, naamini baridi unalikabili kisawasawa
Zile mbwembwe za tuna mahela wasitubabaishe,,kwisha habari yao hehe haya mpokee hata 2000Hizi hela nikilipwa kwa kweli kuna watu tutaonana wabaya.
Ila binamu hata wewe usitegemee kupata hela nyingi maana walisema watatulipa 3300 sasa ona wanasema 2600. Hii serikali inataka kunipunguzia hela za kumtafuta Wema Sepwtu
Zile mbwembwe za tuna mahela wasitubabaishe,,kwisha habari yao hehe haya mpokee hata 2000
Sent using Jamii Forums mobile app