Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hakika tumeburudika usk kucha
Hujambo baba koroshow, ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nashukuru mmeburudika.
Sijambo sana Mary, asante kunijulia khali.
Korosho bado tunasubiri kulipwa.

Afu huwa sijui kwanini, kila nikiwaza hela za korosho najikuta nakupenda ila nikiwa sina hela za korosho basi hamu zangu zinaenda kwa mwingine kabisa.


Mzima wewe
 
yaani niwaze na unipende tuu ukizifikiria hizo hela, (sijui tulilima wote korosho)
Mi mzima mpk ss nashkuru,nahesabu sk mbili bado kumaliza wiki tushindane kulala ss
Nashukuru mmeburudika.
Sijambo sana Mary, asante kunijulia khali.
Korosho bado tunasubiri kulipwa.

Afu huwa sijui kwanini, kila nikiwaza hela za korosho najikuta nakupenda ila nikiwa sina hela za korosho basi hamu zangu zinaenda kwa mwingine kabisa.


Mzima wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom