Je wajua inakujia na shunie shunie shangaziiiii




si nakuona umeshaelewa somo,sema unajitoa ufahamu tuBaba wawili ndio mana nakupenda mm huwa huniangushagi



sema huyu Maryiam,,anajitoa ufahamu,,,anataka hadi niseme nikinywa maji nakuona kwenye glassAisee,,sad storyDah
Wahenga hawakukosea na misemo yao mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi![]()
Kwema broDada mbona kicheko kikubwa kwani kunani.
Shangazi mwenye mapenzi yake kwa mwanae hehe,Baba wawili ndio mana nakupenda mm huwa huniangushagi
Bahati nzuri limefanywa na mtu mweupe,Dah
Wahenga hawakukosea na misemo yao mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi![]()

yangemalizwa maneno yoteSomo nalielewa sn na wala sijitoi ufaham.si nakuona umeshaelewa somo,sema unajitoa ufahamu tu

Hayo ndo maneno sssema huyu Maryiam,,anajitoa ufahamu,,,anataka hadi niseme nikinywa maji nakuona kwenye glass
nikilala nakuota Mimi km unionavyo yaaani nipo fureshi kupitilizaDuuh mi mzima Dada hofu kwako