xavia jr
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 916
- 1,905
kuhusu salsa muulize Jimena ila hiyo, mmmmh chura stori ndefu.........Salsa ndio zile kama chura au????
kuhusu salsa muulize Jimena ila hiyo, mmmmh chura stori ndefu.........Salsa ndio zile kama chura au????
Mi pesa natafuta mwenyewe,
We ulitaka kunitoa out ndo nikakutajia maeneo nnayotaka, sasa ulipoanza kuogopa kutumbuliwa ndo nikashtuka, huenda tuko na fisadi
Kivipi mkuu.....Nipo brother.
Nimevurugwa hapa.
Una tatizo gani mkuu naona uko na fist of fury tuliza mzuka yamalizeni tu yanini kuvuana nguokwa hiyo unamchukia kwa sababu amekukataa au? Nimefuatili mizozo yote wewe ndiye chanzo kwa kujidai mjuaji kushinda wengine.. Una mamlaka gani ya kuwachagulia watu nini cha kufanya?
Unajiita rais huku huwezi kupambana na changamoto za Chit Chat?
Bhange mbaya
nko poa mkuu jambo la kumshukuru Maulana...vpi huko kwakoMkuu uko poa
unaelewa lakini.....Napenda sana Music wa kispanish
Hii e mail ya uongo, hakunaga 10gmail.com. utawadanganya wale wa MAKANYA NA KIHURIO UPARENINicheq hapa email ibrahimmsuya@10gmail.com
Nicheq hapa email ibrahimmsuya@10gmail.com
Fake Pastor huachi kituHii e mail ya uongo, hakunaga 10gmail.com. utawadanganya wale wa MAKANYA NA KIHURIO UPARENI
Kwema mkuunko poa mkuu jambo la kumshukuru Maulana...vpi huko kwako
Acha tu Bro.Kivipi mkuu.....
Sema tu share shida
Mbona mapema![]()
Good night wakuu.
MmmmmmhNdio ufake wenyewe huo, manake hata kule inajulikana kuwa ni editing, hapa napo mtu anaweka avatar kalii wakati kafanana na mwajuma ndala ndefu
Kina nan?Aisee wenyewe watakuja hapa.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimefanyaje?Lizzie.
Lugha yako ngumu
Mbaya sanaaBhange mbaya
................