Makapuku Forum

nadhani ameuona ushauri wako na ataufanyia kz.
Hivi umeamka salama eti, ?

Sent using Jamii Forums mobile app

...nimeamka salama dear, huu mwaka wangu wallah, sija;lipwa hela yoyote lakini nina furaha kwa sababu wewe upo na umenijulia khali bila kujali mali. Uwe na wakati mzuri leo. Imekuwa ni jambo zuri kwangu kuufunga mwaka kwa tabasamu na rafiki kama wewe. Asante
 
Bila shaka tabasamu hili litadumu kwa mwaka mzima ujao kwa uwezo wake Muumba.
Pesa zikija chaaap niite nikuhesabie


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…