marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Hahaha badoo mwaya..ila hizo hela sidhani Kama ntaonja hata shilingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua wazee wanapenda damu changa
Sasa mm mzee sitaki viben10
Hahhaha nimecheka sana
Yaani kuto onekana huku majuma kadhaa tayari nimeshaporwa @ ABJ ... ama kweli napenzi kiti cha BusDarling, tulia anza kujipima shingo ujue unavaa gold size gani na kisha shingo yako inahimili kilo (karat) ngapi za gold. Yaani nikilipwa hela shingo yako itakuwa kama mererani.
Sasa hivi wanatuhakiki majina, wameshahakiki mashamba saa hizi wanahakiki majina. Nadhani tutalipwa mapema kabla wanga hawajalala
Asante sn.ukiwemo ww pia.Huu ulibamba Jpili na kwa kuwa hii ni Jpili ya mwisho kwa 2018 basi nakuacha nayo kwa tabasamu pana na ukae ukijua kwamba wewe ni mtu muhimu, ninafurahia kukufahamu bila kuonana na kuwepo kwako hapa, ndiyo, uwepo wako wewe unayesoma aya hii kunalifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Binamu huyoHuu ulibamba Jpili na kwa kuwa hii ni Jpili ya mwisho kwa 2018 basi nakuacha nayo kwa tabasamu pana na ukae ukijua kwamba wewe ni mtu muhimu, ninafurahia kukufahamu bila kuonana na kuwepo kwako hapa, ndiyo, uwepo wako wewe unayesoma aya hii kunalifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Hahahaha kwani ameshalipwaKupokea begi lake lililojaa mapesa ya koroshow,,alidai leo anakuja na mzgo wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa nae karibu sasa
Hahhaha kila siku mnahikikiwa tuDarling, tulia anza kujipima shingo ujue unavaa gold size gani na kisha shingo yako inahimili kilo (karat) ngapi za gold. Yaani nikilipwa hela shingo yako itakuwa kama mererani.
Sasa hivi wanatuhakiki majina, wameshahakiki mashamba saa hizi wanahakiki majina. Nadhani tutalipwa mapema kabla wanga hawajalala
Ndo vyenye kumiliki madimba eti wanasemaSasa mm mzee sitaki viben10
Ukiwa na hela binamu unafikili basi harufu ya kikwapa kinasikikaAkaribie sana na awe mvumilivu, huwa nakakikwapa kwenye utulivu nisiponyoosha mikono
WoyoooDarling, tulia anza kujipima shingo ujue unavaa gold size gani na kisha shingo yako inahimili kilo (karat) ngapi za gold. Yaani nikilipwa hela shingo yako itakuwa kama mererani.
Sasa hivi wanatuhakiki majina, wameshahakiki mashamba saa hizi wanahakiki majina. Nadhani tutalipwa mapema kabla wanga hawajalala




wapi magold..
Hivi umemaanishaje hapo
Kiunoni tena mambo anayoyapenda hayo binamuWoyooowapi magold..
Lakini my telemundo hunitakii mema unataka ning'olewe shingo mwenzio huku najiona, basi ntavaa kiunoni siyo lazima wambea wazione
Sent using Jamii Forums mobile app