Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Yaani obe Hutu huyu mgoni wangu " ndiye mchungaji " wakuniombea
Dunia simama nishuke
Sent using Jamii Forums mobile app
..na nikimaliza maombi ni lazima utoe sadaka, sio chenjichenji, maombi yanahitaji notinoti. Hapo uyazidi kubarikiwa na utasahau kama uliwahi kupenda maana nitakuwa na hela yako ya sadaka na nitalipwa hela ya korosho



