Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Nko poa mnoupo poa!?..
Nko poa mnoupo poa!?..
Heshima yko kaka anguEeh hzo hzo,,zile zenu za kina jamal hawaziwez
Ukoo wa mapacha huu Tumosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoo binamuAkaribie sana na awe mvumilivu, huwa nakakikwapa kwenye utulivu nisiponyoosha mikono
...navyokupenda yaani ukikohoa me natema, ukibanja lile kohozi gumu/zito nalimeza

Kwema kpenz,hbr ya siku
nadhani ameuona ushauri wako na ataufanyia kz.
Hivi umeamka salama eti, ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio lakini siijui hatima yangu maana nimefikishwa ICU
Hahahaa " sio kwamba mimi nimgeni kabisa ..!! Kwenye hiyo sekta .. tena nina kamba mguuni mkuuAaah huyo Al-watan sina hofu nae kwenye sekta hizo!!..
hivi kweli hata umeshindwa " kunipa neno la matumaini " Au ndio unashirikiana na mtoa roho kuimalizia roho ...Uachwe mara ngapiiii Wick njo umuone ndg yako huku
Ndio lakini siijui hatima yangu maana nimefikishwa ICU
Daaah kumbe mganga wangu hakukosea alipo niambia kwamba mbaya wangu wa kwanza ni wewe !!!!!Hhahahaha kufwa tukuzike
Kwahiyo ABJ atarudi kwangu eeh !! Naomba niongee na mchungaji wako tafadhali "
Bila shaka tabasamu hili litadumu kwa mwaka mzima ujao kwa uwezo wake Muumba....nimeamka salama dear, huu mwaka wangu wallah, sija;lipwa hela yoyote lakini nina furaha kwa sababu wewe upo na umenijulia khali bila kujali mali. Uwe na wakati mzuri leo. Imekuwa ni jambo zuri kwangu kuufunga mwaka kwa tabasamu na rafiki kama wewe. Asante

Kwema kpenz,hbr ya siku

hapo inabidi mchungaji Obe ufanye mambo
Kwahiyo ABJ atarudi kwangu eeh !! Naomba niongee na mchungaji wako tafadhali "
Sent using Jamii Forums mobile app