Makapuku Forum

Makapuku Forum

4db208e307414f3ca19511789933b6ce.jpg
2a08d9c64fb45e2ff14591cebd221eab.jpg

Lipa sasa tuone

...............
 
Huyo mtu(r) anatumikia adhabu humu ya:
NO LIKE
NO REPLY
NO QUOTE
Tafadhali achana nae(kosa lake lonajulikana)
No shobo
No ufagio
No superstar
Tulishalijadili hivyo potezea
............

badilika na pia uache kujiona kama wewe una uwezo wa kupangia watu wafanye kile unachokitaka wewe..

chuki zako kwa Mbulu & Rubii ni mifano tosha inayodhihirisha kuwa wewe ni mtu usiye na ufahamu wa hii mitandao..

Badilika na ujifunze kupitia kwa wenzako ya namna bora ya kuheshimu mawazo ya wenzako..
 
badilika na pia uache kujiona kama wewe una uwezo wa kupangia watu wafanye kile unachokitaka wewe..

chuki zako kwa Mbulu & Rubii ni mifano tosha inayodhihirisha kuwa wewe ni mtu usiye na ufahamu wa hii mitandao..

Badilika na ujifunze kupitia kwa wenzako ya namna bora ya kuheshimu mawazo ya wenzako..
Km unamshobokea kanfate PM
Km vitu huvijui kaa kimya
Siyo much know
Usituharibie mood
................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom