I was about to .. but the alarm didnt let me🙁Did you remember to honk before the alarm went off
😂😂😂😂🎶
That was a hell of dream
🐲🐲🐲🐲🤯🕺🏾
Tujitegemee!
Hapa ndo sehemu mojawapo ya kujipima kama kweli upeo wa akili yako uko sawia , kuamini jambo na kuchakata mambo hakuingiliwi na MTU au na kikundi cha watu
Tunahitaji mtu kushiriki jambo kwa uelewa wake bila mawazo ya mtu kuingilia maamuzi yake
Tunajiita "Great Thinker"
Iweje ujiite mtu mwenye upeo wa hali ya juu, mtu mwenye kufikiri jambo kwa kina kabla ya kutenda, MTU mwenye uwezo wa kuchakata mambo na kuchukua maamuzi ya jambo hilo kwa usahihi wake.
Halafu leo hii mnaunda vikundi?
Vikundi hivyo leo hii vimeleta matabaka humu ndani (wanasapotiana wao kwa wao, wanapeana like wao kwa wao) sasa hii ina maana gani?
MTU asimame kama yeye, hapo ndipo utadhihirisha kwa watu kwamba wewe ni Great Thinker.
Kila kituUmemmiss zaidi nani hapa!![]()
Kudanganya ni zambi mkuu!![]()
amynAsante sana love,tubarikiwe sote na tuwe na siku njema ya kupendeza
ugali wa saa mbili asubuhi??? Ulianza lini mambo hayaMama sitaki chai mimi nataka unipikie ugali!![]()
Mimi nampenda zaidi!![]()
Sijambo tetra za wewe
Yupi huyo mkuu?Kwani kafungasha yule mdudu??
Mama Mimi saa kumi na mbili asubuhi huwa nakula ugali, chai wapikie dada zangu!ugali wa saa mbili asubuhi??? Ulianza lini mambo haya



Yupi huyo mkuu?
Tujitegemee!
Hapa ndo sehemu mojawapo ya kujipima kama kweli upeo wa akili yako uko sawia , kuamini jambo na kuchakata mambo hakuingiliwi na MTU au na kikundi cha watu
Tunahitaji mtu kushiriki jambo kwa uelewa wake bila mawazo ya mtu kuingilia maamuzi yake
Tunajiita "Great Thinker"
Iweje ujiite mtu mwenye upeo wa hali ya juu, mtu mwenye kufikiri jambo kwa kina kabla ya kutenda, MTU mwenye uwezo wa kuchakata mambo na kuchukua maamuzi ya jambo hilo kwa usahihi wake.
Halafu leo hii mnaunda vikundi?
Vikundi hivyo leo hii vimeleta matabaka humu ndani (wanasapotiana wao kwa wao, wanapeana like wao kwa wao) sasa hii ina maana gani?
MTU asimame kama yeye, hapo ndipo utadhihirisha kwa watu kwamba wewe ni Great Thinker.
Mama Mimi saa kumi na mbili asubuhi huwa nakula ugali chai wapikie dada zangu!![]()