Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha

Kijana naona umenitag ,ila mie huko siko Kabisa ,nashukuru kwa tag yako

Kwa sasa Mjomba wenu nakula ugimbi, huku nikihakikisha Mzee mwenzangu Mh Emanuel Ramazan Shadary inakua president

...mzee mwenzangu nimekutag kukupa salamu za sikukuu na wala si kitu kingine. Sina hila yoyote zaidi ya salamu
 
Mbunge anakuomba utumie ubinadamu kuwafikiria wananchi kwa kuwalipa fidia, wewe unatamba mbele ya wananchi hao hao kwamba Serikali iliwashinda Mahakamani, na kwa hiyo huwalipi na hawana mahali pengine pa kwenda kushitaki! Halafu unajiita Rais wa wananchi wanyonge!!
 
Sote tunajua kwamba serikali inaendeshwa kwa kodi. Walipa kodi ni wananchi, wafanyabiashara nk. Sasa ukiwa na Waziri anayeshangilia kufa kwa kampuni ya ndege akidhani ni faida kwa serikali ni mtu anayehitaji maombi. Huu nao hakika ni ujuha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom