Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Hahhaha ila wewe binamu hao uliowatag hawahusiki kabisa usiniharibie wimbo wangu wala babe wangu hayupo jf wala haijui









Nacheka mm
Kiboko ya wote ni wewe mwanaume... Mwenye sauti yako nzito! Uliponisemesha ni kama uliiponya nafsi yangu!
Yale maneno yako mpaka leo yanajirudia kwenye akili yangu" stop crying beautiful, everything will be fine" hujui tuu we mtu ni namna gani ule usiku hayo maneno yalinipa faraja












Naniii huyuHahaha hahahaNacheka mm
Hahaha hahaha hahaha
Wewe bwana .. Kuna muda ukiongea inabidi niwaze kwanza
Usiombe yakupate ya Sakayo
Hahaha hahaha
Najua wewe ushakutana nao
Hahaha hahaha hahahaNaniii huyu
Hahaha hahaha
Hata simjui yaaani
Hahaha hahahaHahahahha yaani nakupenda we dada akili za uzima hizi sio heineken
Hapana jamani dadaHahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
We ni chizi aki
Unataka nitaje hapa auWakina nani hao dada
Sijui kama yupo JF aki...
Ni mbaba fulani hiviii.... Alivyonipisha wala sikutegemea kabisaaa, nilisita kidogoo akasisitiza






nakazia mimi
Kiufupi wanaume wa Dar wana roho nzuri saaaanaaa!!!
Hayupo JF aki...
Natamani ningepata nafasi ya kumjua nmshukuru kwa kweli.... Ila hata kumshukuru nilisahau kwa maumivu nilokuwa nayoHumjui mashairi yote haya
Mimi mepitia mengi sana aki... Yaaani mengiiiiiYapiiii hayo
Kaka mwenye sauti yako nzito... Sikuona sura yako ila maneno yako yote nayakumbuka! Ndo yananipa nguvu kila leo
Hahaha hahaha
Huyu kaka jamani, nahisi ni Mungu alimtuma..