Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ko ni akili zako eeeehhhhHapana jamani dada
Ko ni akili zako eeeehhhhHapana jamani dada
Hahaha hahaha hahaha kwenda hukoEenh
Naomba uendelee na story dada akee shunie







mbavu zangu mm we malaika ukuje uku
Hahaha hahaha hahaha
Mimi namuita malaika.... Alinisemesha kwa upendo, alinitia moyo! Mpaka machozi yakakauka!
Nimekumisi piahusna wewe me nimekumiss
Sio kupatwa aki...Eenh jamani kupatwa kwa dada akee shunie uku
NdiwoooEeenh
Hahaha hahaha hahahambavu zangu mm we malaika ukuje uku
Huyo wa kwa mwendokasi si humjui weweUnataka nitaje hapa au
Mh! Kumbe ngiri ana manyonyo manne!!
Natamani ningepata nafasi ya kumjua nmshukuru kwa kweli.... Ila hata kumshukuru nilisahau kwa maumivu nilokuwa nayo
Mimi mepitia mengi sana aki... Yaaani mengiiiii
Ko ni akili zako eeeehhhh
Hahaha hahaha hahaha kwenda huko
Sio kupatwa aki...
Huyu mkaka sijui tuu aki, Yesu amtunze!
Ndiwooo
Alijua kunitia moyo shunie... Ule usiku ningeweza hata kujinyonga
Hahaha hahaha hahaha
Natamani kweeliii angekuwa JF, nimshukuru tuu.. Ulikiwa mwendo wa dk 20 kwenye gari ndogo akafanikiwa kunisemesha na nikaelewa
Simjui aki...Huyo wa kwa mwendokasi si humjui wewe
Hahahaha
Kijana naona umenitag ,ila mie huko siko Kabisa ,nashukuru kwa tag yako
Kwa sasa Mjomba wenu nakula ugimbi, huku nikihakikisha Mzee mwenzangu Mh Emanuel Ramazan Shadary inakua president