Ushasahau tayari....
Una akili zako nazijua
Una akili za Heineken nazo nazijua
Una akili za wife material, hizi nazo naanza kuzielewa








Nacheka mm
Kwenye maisha bwana kuna mengi sana
Kuna watu wana roho nzuri sana na za kipekee
Hahaha hahaha hahahaNacheka mm
Natamani awe anasoma hapa
Usiombe yakupate ya SakayoSanaaaaa
KumekuchaaaaaaaaaaSiku ulonipisha kiti kwenye mwendokasi
Hahaha hahahaSanaaaaa jamani
Hahaha hahahaWoiiiiii nani huyo
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaKumekuchaaaaaaaaaa
Kheee we kaka uliyemsaidia dada angu ukujeUkanibebea na mkoba wangu ulokuwa mzito kuliko kilo zangu
Sijui kama yupo JF aki...Kheee we kaka uliyemsaidia dada angu ukuje
We Kaka jamani uko wapiii unaitwa hukuHahaha hahaha
Huwa nawaza tuu jamani.... Watu wenye roho hizo sijuii mmelelewaje!
Hayupo JF aki...We Kaka jamani uko wapiii unaitwa huku