Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kinondoni tena baba wawili kwakina nani huko tena yaani nimekumiss mm sijakuona leo kabisa
Haha ha ha nlitaka nione kama nipo vzr kwenye ubashiri,,,

Nipo hapa tayali shangaz,,weekend inaendaje huko??

Habar zenu tunazo lkn,,zile za Nkana
 
Hahaha ubashiri wako umepotea baba wawili hizo habari za nkana achana nazo bwana hayo mambo yaliisha toka jana

Weekend ndio inaisha hivi
Haha ha ha nlitaka nione kama nipo vzr kwenye ubashiri,,,

Nipo hapa tayali shangaz,,weekend inaendaje huko??

Habar zenu tunazo lkn,,zile za Nkana
 
Hahaha ubashiri wako umepotea baba wawili hizo habari za nkana achana nazo bwana hayo mambo yaliisha toka jana

Weekend ndio inaisha hivi
Ha ha ha ha ha owk sawa shangazi,

Inapendeza kusikia kuwa upo salama,

Enjoy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom