Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asalyam alyequm bibie,u hali gani?

Shangaz Shunie anashida na ww mara moja
Waaleyqum salaam warahmatullah

Me mzima khouf kwako weye

Oh haya namsubiria
Mimi mzima pia,,,nakumiss sana tu

Owk love,,ngoja tumsubiri hapa
Nakumiss zaidi

Mwambie askawie nasinzia
Nmemwambia bibie anauchovu kadai ana jambo anataka kuteta na ww.

Huyu nae mtembez hatar,,ngoja nimstue
Jamani kumbe Madame ulikuja nilikua nataka kukusalimia tu mm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom