Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha halafu sijui kwa nn tarehe muhimu sina mshawasha nayo kabisa yaani tofauti na miaka yotee sijui ndio uzee au nn
Nimefuliaaa wachaaa nimalizanee na kulee kwanza pa siku zilee kabla ya tar muhim yako
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hahahahhahaha etiiii uzeee ....si mda badoooo lakiniii wiki mbili kasoro siku mojaaaaa oooooooyooooo
Hahaha halafu sijui kwa nn tarehe muhimu sina mshawasha nayo kabisa yaani tofauti na miaka yotee sijui ndio uzee au nn
 
NETI zenye dawa zinazosambazwa ni rafiki kwa Afya sababu huzuia Malaria ambayo Hutokana na Mfumuko wa uchumi na kupanda kwa sukari bei iliopelekea korosho kuwa Adimu kwenye masoko ya Dhahabu.
 
"Mradi wa Stiegler's Gorge ni rafiki kwa mazingira kwa sababu utaokoa miti ambayo hukatwa kila siku kwa ajili ya mkaa ambao watanzania asilimia 92% wanatumia."- Rais Dkt Magufuli
 
I had a small fight with my wife and she refuse to serve me lunch. Lols my dear, let's not misplaced our priorities. It's only a misunderstanding we are having.

I don't have to die.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom