Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sijui kama kuna jipya apo binamu ...hili goma limewashindaaa wengiii



....ni upuuzi na kwa kuwa tunaongozwa na a budding authoritarian tunaodhani wanaweza kumwambia mfalme yuko uchi hawasemi, wanamjua jamaa lacks self-control, an infantalist to sum up, anadhani anajua kila kitu and can't learn to sit still. ataongelea korosho, ataongelea makinikia na huoni matokeo. Kila saa anataka aonekane anapendwa na media haziwezi kumuambia ukweli maana ni kama tunaishi kwenye polisi state. Biasara zinakufa na ukiuliza wasio na vichwa wanasema biashara za wapiga dili ndo zinakufa

Ngoja niendelee kufanya kilichonileta hapa Masasi, kesho inshallah nikimaliza mapema naanza kurudi Ntwara
 
...kumbe Prof Benno Ndulu yupo huku kwa Wachumi?!1 Labda kwenye mkutano wao wataongelea na ni sababu gani Jumuiya ya wafanyabiashara imeshindwa kukutana majuzi.
Watauchambua uchumi wetu inaosemwa kuwa unakuwa kwa asilimia 7 kwenye makaratasi ilhali uchumi wa mtu mmoja mmoja uko chini isivyo kawaida. Mtumishi wa umma (mind you; serikali kwa hapa kwetu ndo muajiri mkubwa) hajapandishiwa mshahara tangu mwaka 2015, bei zimekuwa zikiruka kila siku, uwezo wa mtu kununua umeshuka (consumer price index yetu inayasema haya kwa uzuri kabisa), gharama za maisha zimeshuka na hii si afya kwa kila aina ya biashara.

Anway Lyon Lee uko kwenye sekta binafsi ya biashara unajua hali ilivyo. wachumi wakikutana tutapenda kusikia wamesema nini ila wakija na mapambio na kaswida tutasema asante

Serikali hii kwa swala la mafao ya wafanyakazi sidhani kama kuna jipya,

Wacha tungoje huo mjadala wa wachumi wa Tanzania.
 
InshaaAllah,,kunywa maji naona yaliyopo yanakaba
....ni upuuzi na kwa kuwa tunaongozwa na a budding authoritarian tunaodhani wanaweza kumwambia mfalme yuko uchi hawasemi, wanamjua jamaa lacks self-control, an infantalist to sum up, anadhani anajua kila kitu and can't learn to sit still. ataongelea korosho, ataongelea makinikia na huoni matokeo. Kila saa anataka aonekane anapendwa na media haziwezi kumuambia ukweli maana ni kama tunaishi kwenye polisi state. Biasara zinakufa na ukiuliza wasio na vichwa wanasema biashara za wapiga dili ndo zinakufa

Ngoja niendelee kufanya kilichonileta hapa Masasi, kesho inshallah nikimaliza mapema naanza kurudi Ntwara
 
Zingatia ahadi


..hizo ahadi alizitoaga kwa dada mmoja mtutsi, aliahidi kabisa kumuoa ili awe raia lakini maskini dada wa watu na urembo wake aliambulia kuwekwa ndani miaka 9, vita ilipoisha ndo akaamua arudi kwao. Nitakupa namba yake kama unataka kupata uzoefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom