Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
OK...Unajua mwalimu hata kwenye hiace akiona mtu kakosea kuongea kiswahili sahihi hawezi vumilia lazima atakurekebisha tu...Kati ya Profesional zake mingi alizo nazo Ualimu ni moja wapo Shemeji..Asante, wife wako alikuwa anatupa somo la mwandiko maana tumezidi sana kuchapia.
Hongera wifi kwa 35kLayout ya keyboard ndio shida naona
Inasoma 15 ¢°Pole sana mkuu
Ulipotea sasa kaka angu mieDada..
shukrani dada'keKama nilizokutunuku weye leo
Asante my wii, leo kwa Mara ya kwanza.Hongera wifi kwa 35k
Mkuu upo?Furaaha day.....
Happy to be in kapuku forum....
Ameona jinamizi huyo.Unahisi anakimbia nini huyu?
![]()
Umepata mke bora sana shemOK...Unajua mwalimu hata kwenye hiace akiona mtu kakosea kuongea kiswahili sahihi hawezi vumilia lazima atakurekebisha tu...Kati ya Profesional zake mingi alizo nazo Ualimu ni moja wapo Shemeji..
No wonder akapigwa KOKyupi lenyewe km singlend
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Kaka Leo Niko vizuri sanaaaDada angu mwenyewe...Kwanza niambie u hali gani asubuh hii ya leo?
Dada nilibanwa kimtindo kwa siku kadhaa ila Thanks God niko huru sasa...Tena siku muafaka kabisa hii...Tuko pamoja sana..Ulipotea sasa kaka angu mie
Mambo vipi?
Hakuna shidaOk saw ngoja niseme nimekosa
Karudie kusoma tena kisha utaelewa nilichokwambia,Kwa hiyo siruhusiwi kuchangia kitu c bora nitoke huku
Layout ya keyboard ndio shida naona
Hajakwambia utoke lakini amekushauri kuwa ni busara kwako kutochangia kila kitu hasa ambayo hujaelewa, hata mimi sichangii kila kitu, mengine najifanya sioni, japo naona.Kwa hiyo siruhusiwi kuchangia kitu c bora nitoke huku
Mi nilipo ni 7 na wala hakuna shidaInasoma 15 ¢°