Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unahisi anakimbia nini huyu?
CiQj75kU4AAIAU4.jpg
Ameona jinamizi huyo.
 
Kwa hiyo siruhusiwi kuchangia kitu c bora nitoke huku
Hajakwambia utoke lakini amekushauri kuwa ni busara kwako kutochangia kila kitu hasa ambayo hujaelewa, hata mimi sichangii kila kitu, mengine najifanya sioni, japo naona.
Hapo juu ameulizwa mtu mwingine nawe ukarudia swali hilohilo kwa muulizaji. Elewa tu kwa nia njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom