Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Mkuu wewe ni mnufaika wa teuzi mbilimbili!Hahaha sio kweli mkuu
Mkuu wewe ni mnufaika wa teuzi mbilimbili!Hahaha sio kweli mkuu
HahahahaJiwe akilewa anakuja kufanya teuzi!![]()
Hazikuhusu kwa sababu ulitenguliwa eeehhh!!Hahahaha
Teuzi hazinifusu,mie nalewa tu
#KazinaBata
HahahaHazikuhusu kwa sababu ulitenguliwa eeehhh!!
Unafikili ni kwann jiwe alinipa teuzi mbili mkuuMkuu wewe ni mnufaika wa teuzi mbilimbili!
Mungu akipenda imeshaisha hiiNiko salama pia,,,taratbu tunaimalizia weekend
hahahaha yawapi hayo makopa kopa??Naonaa makopaa makopaa
Kweli bibie,,,njaaMungu akipenda imeshaisha hii
Ulionyesha utiifu wa hali ya juu sana kwa jiwe kwa hiyo akakupenda mkuu!!Unafikili ni kwann jiwe alinipa teuzi mbili mkuu
Ulionyesha utiifu wa hali ya juu sana kwa jiwe kwa hiyo akakupenda mkuu!!



usiseme kwa sauti mkuu atasikia iwe shida tena,,jiwe hachelew kutengua teuzi zakeMilele amina..Tumsifu Yesu Kristo
Makapuku ,nawatakia jpili njema
Karibuni tuzimue


Ulionyesha utiifu wa hali ya juu sana kwa jiwe kwa hiyo akakupenda mkuu!!
Milele amina..
Asante nawe pia,shukran kwa ukaribisho wa kuzimua![]()
Hahahahausiseme kwa sauti mkuu atasikia iwe shida tena,,jiwe hachelew kutengua teuzi zake
Kwema binti??habar za jplSalam zako nyingi sn![]()
HahahahaHahahaha
Kijana muoga eeh,kula raha kijana
Nasikia leo weekend jiwe yupo kwenye ulabu akirudi hapa ni mwendo wa kutengua teuzi tuuuuu!!usiseme kwa sauti mkuu atasikia iwe shida tena,,jiwe hachelew kutengua teuzi zake


