Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asubuhi njema wadau. Kama mnataka kujua Jipya basi ndugu yenu, binamu yenu wenyewe amepata mafanikio makubwa sana, yaani kifupi, mambo ya korosho yameanza kunawirisha afya yangu. Nimenunua chandarua kile cha pembenne. Sasa hivi nitakuwa naingia kitandani kama naingia kwenye nyumba.

Ninahitaji pongezi tafadhari
Hongera binamu,tuwekee picha ya chandarua chenye dawa
 
Daah kweli leo jumaa tatu".. Jf kumepooza watu hakuna kabisa" majukwaa yote nayo pita naambulia ukimya tu ".. watu tuliopo leo ni wachache ...


Poleni Sana kwa Majukumu wakuu
Hahahahha
Ulikuwa unapita kila jukwaa kukagua watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom