Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
AminaaAminaa amina sifa na utukufu wake viimidiwee
AminaaAminaa amina sifa na utukufu wake viimidiwee
Sijambo pole na majukumuMarahaba binamu mzuri,hujambo?
HahaaAbj kashapaa na hearly sijuiii
Mambo bebe'Ohhpss kukulana kulivyo kutamu
Ndipo bwana akatenganisha usku na mchana...na ikawa kama alivotakaBaada ya kufanyika mabadiko madogo ya baraza la waziri jana naona watu wamehamua kuzindua kwa kutekana!
....naamini unakumbuka vita maarufu kabisa kama vita ya dunia (zote mbili) na vita ya siku sita. lakini je unajua kuwa kumewahi kuwa na vita fupi kabisa kuwahi kupiganwa, yes, ni vita iliyohusisha Mwingereza (Britain) na Sultan wa Zanzibar (The Anglo-Zanzibar War of 1896). Vita hii ilidumu kwa dakika 38 tu. Na sultan akakimbia





Baada ya kufanyika mabadiko madogo ya baraza la waziri jana naona watu wamehamua kuzindua kwa kutekana!
Nakusalimia anko wangu
Mkuu inabidi kuanzia sasa hivi nianze kujiweka karibu na jiwe ili siku akifanya tena mabadiliko madogo ya baraza huenda hohehahe mimi nikalamba chochote kitu!...hahahhaah, yaani mimi nimenyang’anywa nafasi zote yaani hata mauzo ya korosho hakuna aliyejali


