Binamu siku hizi unajua kuweka emoj
HahahahaAsubuhi njema wadau. Kama mnataka kujua Jipya basi ndugu yenu, binamu yenu wenyewe amepata mafanikio makubwa sana, yaani kifupi, mambo ya korosho yameanza kunawirisha afya yangu. Nimenunua chandarua kile cha pembenne. Sasa hivi nitakuwa naingia kitandani kama naingia kwenye nyumba.
Ninahitaji pongezi tafadhari
Shemela habari yakoHaaaaaahaaaaa
Safiii mzima princeHabarini wakuu
Nina salamuu zakooNimetekwa na nani mm binamu
Nashangaa hadi jiwe haonekani!![]()
Jiwe hachelewi kuja kutengua huo uteuzi unaoringia!!![]()
Jiwe atakuwa yupo busy na sherehe za baada ya teuzi!![]()
Ebu ngojeni kwanza jiwe ndio nani kama jiwe nae ni kapuku naombeni no yake ya simu jamani nimwambie shida zangu tuHuyuu jiwee sijui katekwaa ?
Hahahah huyo jiwe ni naniMkuu inabidi kuanzia sasa hivi nianze kujiweka karibu na jiwe ili siku akifanya tena mabadiliko madogo ya baraza huenda hohehahe mimi nikalamba chochote kitu!![]()
Ebu ngojeni kwanza jiwe ndio nani kama jiwe nae ni kapuku naombeni no yake ya simu jamani nimwambie shida zangu tu
EiishNina salamuu zakoo
Yupo humu kwahiyo jiweMwenye teuzii zake
Eiish
Kutoka wapi tena