Umelipaaa kweliiii ? Mama mchungajiii leo naonaa anadaiii lazima nifikee ata kama usiku sana kuna chumba cha wagen...anko, basi haya mambo yaishe, na wewe mjomba wangu huna dogo!! Kule juu nilikuwa natania tu si unajua leo furahiday, halafu simu sikuwa nayo mimi. Ninaichaji kwa huyu muuza chipsi nimekuja kulipa lile deni ulilomwambia Mwajei ale utalipa.
Halafu mama Mchungaji anakusalimia sana, anasema umekuwa adimu siku hizi, nikamwambia umekuja Mtwara kwenye fiesta
Kama binamu yangu Obe yy anazidi ya mamilionView attachment 944181
Mm hunipend binamu
Nimekumiss jamani we mzee
Hakuna kama hapa nipo zangu sehemu tu
Si mmesema we na baba wawili binamu yenu ana mahela ya koroshowAtazitoa wapi hela we mpe tuu
Utafanyaaa nimbock pm make msumbufu huyuChizi!!
Nachoma makapuku
HahahhahahhaWewe ndiyo mtekaji wa shangazi?!
Si umemsahaukipya kinyemi
Woyooooooo niko hapa jamani
binamu umesahau na chumvi
Atakayesoma ataniambia kilichoandikwaNawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
NawamissSanaWatuNduguWaHumu!KiukweliNauheshimuSanaUwepoWenu!
...yaani namba tu nitoe hela, kama unataka nikupe japo buku ya fursana basi niletee kabisa getho na umlipe kabisa, uniazimie na simu yako ya kamera ili arushe kwenye IG yake