Mungu tunakuomba uibariki na kuiongiza timu ya Taifa ya Tanzania katika mchezo dhidi ya Lesotho...... Mungu ukawabariki walinzi wake wote bila kumsahau Manula..... Ukawatie nguvu na wepesi katika mipango wale viungo wetu..... Usiwasahau washambuliaji Mungu.
Alama tatu kwetu ni muhimu kuliko kwa Lesotho....