MfyuuuuuuNamjuaa mbaya wangu huyu
Mm hutanipa binamu....hayo makopa kayanunua kama wabunge wa upinzani, asikutishe.
Kama vipi na wewe nipe makopa ajue kabisa kuna maisha bila kuhonga. (Wallah tena, nikilipwa pesa yangu utapenda, wewe peke yako)

Na usisahau nimepita kwa wale wamasai kuangalia kama wameleta shanga za kumwekamweka na ile dawa ya kusaidia kuchelewa kukojoa

Adim sn ndo kutekana au.?Npo mpenz
.....usiende beibe, njoo Ntwara tuyajenge, au mi ndo nije hapo Dar
leo umekuwa kijana binamuKaka yngu shikamoo
Anajaribu kupapasa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
leo umekuwa kijana binamu

Sijui binamu yako anakwama wapi kwakweli.ataambilia patupu



ngoja ukoo ukae kikao tumsapot aisee,,hatuwez kukubar hv hv
ntampeleka kwa rasi simba ashindwe yy tu



binamu kuna sehem anafeli tatzo ndio hapoMsalimie sana binamuMzima mimi hofu ww tuu.
Nipo naelekea mtwara kuchukua korosho zangu 2kg halafu nielekee huko

Yy atataka kumtumia tu huyo churaAlafu hataki kugharamia mpambano
Wapi sasa
Marhaba dada,,vp kwema huko??Kaka yngu shikamoo
Msaidieni kbl sjarudi toka china, akala kwa macho.binamu kuna sehem anafeli tatzo ndio hapo