Makapuku Forum

Kheeeeee makubwa
 
Mm kabisa huyu simu ipo chini ya mto
 
USILALE UMEVAA SIDIRIA.

Tunasema kuwa hizi ni tabia mabazo zimekuwa za kawaida kwa maisha ya watu na kuona kama hakuna mdhara yoyote lakini yapo, wanawake wanaovaa sidiria wakati wa kulala wapo katika hatari kubwa ya kupata saratani ya matiti.
Hivi wapo wanaolala na sidiria mm kulala nalala uchi kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…